HABARI MPYA LEO  

MAOMBI YA VYUO VIKUU KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013

By Maganga Media - Apr 7, 2012


Tume ya Vyuo vikuu Tanzania TCU inakaribisha waombaji wenye sifa kuomba kwa ajili ya masomo ya Elimu ya juu kupitia mfumo wa pamoja wa TCU. Kupitia mfumo huo, waombaji wanafanya taratibu zote kupitia mtandao na wanapata fursa ya kuchagua vyuo vilivyo chini ya mfumo huu. Mfumo huu wa Elimu ya juu nchini ulianza kutumika mwaka wa masomo 2010/2011 ambapo miongoni mwa manufaa ya mfumo huu ni kurahisisha kutolewa kwa majina katika muda muafaka na kuondoa tatizo sugu la baadhi ya watu kuchaguliwa zaidi ya mara moja katika vyuo mbali mbali na hivyo kuwanyima fursa watu wengine kusoma kwa kuwa hawajachaguliwa.

FUATA LINK HII KUJISAJILI NA TCU   (BONYEZA HAPA)

KUFUNGUA KITABU CHA MAELEKEZO (BONYEZA HAPA)

For further enquiries please call Hotline numbers: 0759 539987, 0759 537659, 0714 582742, 0783 600424 and 0773 971363

Admissions Guidebook for Higher Education Institutions in Tanzania


1. Introduction
The Tanzania Commission for Universities (TCU) in collaboration with National Council for Technical Education (NACTE) has prepared this Admissions Guidebook as a tool to simplify the admission process in the country. The Admission is processed through two systems, Central Admission System (CAS) and direct applications to institutions. Through the Central

Admission System applications can be lodged either through the Internet or the mobile phone SMS application. The process is interactive in such a way that the applicants can easily and conveniently follow the instructions given by the system in the course of lodging an application. In addition, the Guidebook has the following information:

• Important dates to be adhered to during the application process;
• List of participating institutions in the CAS;
• Programme codes for each institution;
• Minimum entry requirements for each programme;
• Application fees and procedures for payment;
• Maximum loanable amount for priority programmes (For more information on Loans refer to Issuance of Loans Guidelines and Criteria for academic year 2012/2013 issued by HESLB);
• Categories of applicants eligible to use the Central Admission System;
• Procedure for application through Internet and SMS application;
• Other services offered by the Central Admission System.

2. Important dates
In order for the applications to be considered and processed without due stress, applicants are advised to observe and adhere to the dates indicated in Table 1. Failure to adhere to these dates may result into rejection of applications. In any case no admission will proceed beyond the set deadlines.
Table 1: Important dates
S/N Activity Date*
1. Lodging of applications for applicants who completed studies between 1988 to 2011 is 1st April

2. Lodging of applications for applicants who have completed
studies in 2012 After the release of their results

3. Deadline for submission of applications for all applicants 30th June

* NB: An almanac with specific dates will be issued for every admission cycle

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII